Monday, February 16, 2009
Kwani unabisha?
UKIAMBIWA utaje wasanii watatu wakali wa bongo flava si rahisi kuyaacha majina ya hao hapo juu, Lady Jay Dee na Profesa J.
Wapo wanaoamini kuwa, Jide na Jay ndiyo wakali zaidi kwa bongo flava, kama una hoja kupinga hilo sema usikike
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment