Tuesday, January 12, 2016

Miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar


sh1
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akisalimiana na Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete leo katika kilele cha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar  katika uwanja wa Amaan mjini Unguja.
 
sh2
Rais Mstaafu wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi, mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange  wakiwa katika sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amaan mjini Unguja. 
sh3
Wananchi na maofisa wa Serikali wakiwa katika sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar  leo
sh4
Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu alipowasili katika uwanja wa Amaan mjini Unguja wakati sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar.

sh5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange wakati  sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amaan.
sh6
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli akisalimiana na mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein katika Uwanja wa Aman.
sh7
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akiwasalimu wananchi katika Uwanja wa Amani wakati wa sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar 
sh8

sh9
Picha zote na Ikulu.

No comments:

Post a Comment