Wednesday, November 19, 2014

Kim Kardashian- Sijuti kupiga picha uchi kabisa



Mmoja wa wanawake maarufu zaidi duniani hivi sasa, Kim Kardashian, amesema hajuti kupiga picha uchi kabisa kama malivyozaliwa, alipanga kufanya hivyo tangu alipokuwa mjamzito, zimesababisha ajiamini zaidi na anaamini watu wamezipanga.

Msanii huyo wa vipindi vya maisha halisi kupitia televisheni, amesema, amepicha picha hizo kuonyesha umbo lake lake la sasa lilivyo na mvuto baada ya kujifungua na anajisikia vizuri, anajivunia kuonyesha namna alivyo na amezipenda picha zake akiwa uchi kabisa.

Soma zaidi hapo chini 
Kim has finally explained why she bared it all for Paper Magazine..She says she has no regrets either. She told Channel Nine Morning Show in Australia .

I had a really bad pregnancy and I gained a lot of weight and I did not feel good about myself.

I felt probably the lowest I have ever felt in my life,' Just yesterday I saw a clip of me when I must have been about eight months pregnant - huge!I said,

"guys, just wait until I have this baby, as soon as I get my body back and I feel good about myself, I'm going to do some naked shoot so just be ready,"

'It's empowered me. I actually think I have a better body now than I did before.

'I'm curvier, I feel sexier and it's all about my feeling. I felt proud to show my post-baby body off.'I'm never one to preach, but I felt really positive and really good about myself. I love the photos, I did it for me, I hope other people like them.'

'I was so honoured and excited to work with [photographer Jean-Paul Goude] because he is a legend, and for me that was something I wanted to do to make myself feel confident.

'As a role model I'm not saying anyone else should do that, but for me it was an art project and it taught me to do what you want to do.

No comments:

Post a Comment