Saturday, August 23, 2014

Nyama zote anapewa baba!

“Mtoto apewe chakula kizuri zaidi kuliko baba lakini familia nyingine ikipika nyama, nyama zote anapewa baba, paja, kidari… mtoto anaambulia mchuzi, jalini afya za watoto wanahitaji chakula bora viungo vyao vinakua unamjazia baba nyama zote hazimsaidii mwilini anapata presha tu,” 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba

No comments:

Post a Comment