“Kama ana uhakika wa jambo hilo kuwa mimi ni mwizi aje aseme hadharani
kama ilivyo hapa na siyo ndani ya Bunge, aone kama sijamfikisha
mahakamani, kwani akiwa ndani ya Bunge anajifanya mwanaume kweli kumbe
m***’,”
“Njooni nitawaonesha nilivyopata mali zote nilizonazo na yeye Kafulila kama mwanaume kweli aseme nje ya bunge kwani atanitambua nitakavyomshughulikia, t***i kweli yule,”
“Kama hakulelewa vizuri, atalelewa na dunia kama wahenga walivyosema kwani nina usongo naye sana kwa kuwa najua ana makaratasi ya kufungia vitumbua na kudai ni ushahidi jambo ambalo serikali haitishiwi,”
“Njooni nitawaonesha nilivyopata mali zote nilizonazo na yeye Kafulila kama mwanaume kweli aseme nje ya bunge kwani atanitambua nitakavyomshughulikia, t***i kweli yule,”
“Kama hakulelewa vizuri, atalelewa na dunia kama wahenga walivyosema kwani nina usongo naye sana kwa kuwa najua ana makaratasi ya kufungia vitumbua na kudai ni ushahidi jambo ambalo serikali haitishiwi,”
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi.
No comments:
Post a Comment