Friday, June 27, 2014

Nukuu ya leo

“Nje ya Muungano hakuna manufaa kwa bara wala kwa Zanzibar bali sote kila moja ana la kupoteza. Ndani ya miaka hamsini ya Muungano Watanzania wa pande zote mbili tumeingiliana sana kiasi kwamba si rahisi na wala haiwezekani kututenganisha bila nusu kaputi na baada ya hapo utakuwa umetuachia ulemavu mkubwa,” 

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye.

No comments:

Post a Comment