Wednesday, June 25, 2014

Nukuu ya leo


“Ajira ni tatizo kubwa na lazima lishughulikiwe. Kuna vijana hawaendi shule, lazima watazamwe. Kuna wanaomaliza darasa la saba, kidato cha nne, cha sita na vyuo vikuu. Nazungumza kutoka moyoni kabisa. Hizi ni dakika za mwisho za Serikali ya Awamu ya Nne, wale wanaojipanga kwa Awamu ya Tano kama hawataongelea ajira, basi waandike wameumia,” 

Naibu Spika Bunge la Tanzania, Job Ndugai.

 

No comments:

Post a Comment