Saturday, June 21, 2014

Nukuu ya leo

“Ni imani yangu kuwa tutafikia mwisho. Mwisho upi, hilo ni suala la Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuamua. Muhimu ni kwamba Katiba mpya inaweza kupatikana kutoka bungeni tu siyo kupitia mikutano ya hadhara nje ya Bunge. Huko hakuna Katiba huko kuna mikutano ya hadhara na siasa tu. Katiba itapatikana kwa mijadala na kwa nguvu ya hoja ndani ya Bunge letu.” 

Rais Jakaya Kikwete

No comments:

Post a Comment