Hatimaye Bw Harusi Joshua Nassari anateremka katika usafiri wake aina ya Range Rover muda mfupi baada ya kufika katika viwanja vya kanisala la Kilinga maarufu kama kwa Mchungaji Babu. |
Wageni mbalimbali walihudhuria ibada hiyo ya ndoa mmoja wapo ni Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai (katikati) |
Bi Harusi Anande Nko akashuka katika gari alilokuja nalo aina ya Land Cruser VX. |
Joshua Nassari akamvisha pete mkewe Anande Nnko. |
Bibi Harusi Anande Nnko akamvisha pete mumewe Joshua Nassari |
Maharusi wakipongezana. |
Maharusi wakiwasalimia waumini waliohudhuria ibada hiyo (hawapo pichani) |
Maharusi wakionesha pete zao za ndoa |
Joshua Nassari na Anande Nnko wakionesa cheti cha ndoa. |
Mzee Edwin Mtei na Mama Mtei pia walikuwa katika ibada hiyo. |
Wazazi wa Maharusi ,Joshua Nassari na Bi Anande Nnko. |
Bw na Bi Joshua Nassari na wakiweka Sadaka zao katika kapu la sadaka. |
Maharusi wakapata nafasi ya kusalimiana na Mzee Edwin Mtei. |
Ibada ya ndoa ikawa imefika tamati na maharusi wakatoka kanisani tayari kwa msafara wa magari kuelekea uwanjani. |
Mbunge Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa mbele ya zawadi yao ya ng’ombe iliyotolewa na waumini wa Kanisa la Kilinga ambako ibada ya ndoa ilifanyika |
Mbunge Joshua Nassari na mkewe Anande Nnko wakiteta |
Baba Mzazi wa Joshua Nassari, Mzee Samwel Nassari akimpongeza mwanae kwa hata hiyo. |
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari na ,Anande Nnko wakiwa ndani ya gari muda mfupi baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Kilinga wilayani Arumeru mkoani Arusha |
Mharusi waki “Show Love” |
Picha zote kwa hisani ya jamiiblog |
No comments:
Post a Comment