Friday, May 16, 2014

Mjamzito ahukumiwa kifo kwa kuolewa na Mkristu

The wedding photo that has cost Sudanese woman Mariam Yahya Ibrahim her life after being sentenced to death for converting to Christianity
The wedding photo that has cost Sudanese woman Mariam Yahya Ibrahim her life after being sentenced to death for converting to Christianity

Mahakama nchini Sudan imemuhukumu kifo mwanamke mjamzito baada ya kupatikana na hatia ya KUOLEWA na Mkristu anayeitwa Daniel.

Mariam Yahya Ibrahim (27, ana ujauzito wa miezi 8, atanyongwa mara tu baada ya kujifungua. 

Kwa mujibu wa sheria za Sudan, Mariam ni Muislam kwa kuwa amezaliwa nchini humo, hivyo amefanya kosa la jinai kwa kuolewa na Mkristu. 


Awali mama huyo alihukumiwa kuchapwa viboko 100 kwa kosa la uasherati kwa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na Mkristu.

Mariam na Daniel wana mtoto mmoja, Martin mwenye umri wa takribani miaka 2 ambaye yupo jela na mama yake kwa kuwa haruhusiwi kutunzwa na baba yake kwa kuwa ni Mkristu.

Soma zaidi hapo chini  

A Sudanese court who gave a 27-year-old  pregnant until Thursday to abandon her newly adopted Christian faith and return to Islam has been slammed with a death sentence.

The judge said at the ruling
"We gave you three days to recant but you insist on not returning to Islam. I sentence you to be hanged to death,
According to Daily Mail, on March 4th,Mariam Yahya Ibrahim  who is eight-months was charged with apostasy as well as adultery for marrying a Christian man, something prohibited for Muslim women to do and which makes the marriage void.A relative had turned her in to the police. 

According to the Sudan’s Public Order Criminal Code,Meriam is a Muslim by default because she was born in Sudan.Thus, her marriage to a Christian is a criminal act
 .
On February 7, 2014, Meriam was arrested, with her 20-month-old son, and put in a women’s prison. She had not been charged nor did she receive a fair trial.

The adultery charge came with a punishment of 100 lashes.


The apostasy charge came with a punishment of death. As it stands, Meriam will be put to death following the birth of her second child.

Meriam’s husband, Daniel, is not allowed to care for their child, Martin, because he is a Christian. 


Therefore, Martin, almost two years old, is in prison with his mother. 
Daniel is not allowed to visit or see his son.

No comments:

Post a Comment