Wednesday, March 26, 2014

Rais Kenyatta alivyokwenda Arusha kwa gari

Rais Kenyatta na Ruto wakisalimia wananchi
Rais wa Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Uhuru Kenyata na Naibu Rais wa nchi hiyo, William Ruto jana walisafiri kwa barabara kutoka Ikulu ya Nairobi hadi Jijini Arusha nchini Tanzania.
 

Chanzo Father Kidevu Blog

 

No comments:

Post a Comment