Thursday, March 20, 2014

Nukuu ya leo

“Niwaambie ukweli, Papa aliposema nikawe Askofu Dar es Salaam, unaweza kuelewa wasiwasi niliokuwa nao moyoni, nilijiuliza watu wa Dar es Salaam watasikiliza sauti ya mtu kutoka Tunduru, ‘Myao’ atasikilizwa na ‘Wazaramo’ wa Dar? Nilitii na lazima niseme asante kwa Wana-Dar es Salaam,” 

Askofu Mkuu, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Polycarp Kadinali Pengo.

No comments:

Post a Comment