" Ndani ya siasa wanawake wananyanyasika hasa
pale wanapotafuta uongozi,
utasikia mtu anasema wewe utamchaguaje mwanamke ambaye
anachuchumaa
wakati wa kwenda haja, haya si maneno mazuri mtu wa namna
hiyo
anamdharau mwanamke ambaye ni sawa na mama yake," Mwanasiasa mkongwe Anna Abdallah.
No comments:
Post a Comment