“Juzi (Jumanne)Warioba aliwasilisha Rasimu ya Katiba kwa Bunge, wapo
watu walikuwa wakihoji kama baada ya uwasilishaji ule, msimamo wa CCM
kuhusu muundo wa Muungano wa Serikali mbili ni ule ule, tumeona tuwatoe
wasiwasi watu kwa kueleza kwamba msimamo wetu unabaki pale pale,”
Nape Nnauye.
No comments:
Post a Comment