Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Kikwete
akinong'onezwa jambo na Mmoja wa kinamama wa Kijiji cha Matipwili
Ridhiwani Kikwete akifurahia jambo na wanakijiji wa Matipwili.
Mgombea
Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Sheikh wa Kijiji cha Mkange.
Mgombea
Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani
Kikwete akisalimiana na rafiki yake wa kitambo.
Mgombea
Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Kikwete pamoja na Meneja wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,Steven Kazidi wakiwa na Mama wa Mbunge wa Zamani wa Jimbo la
Chalinze (aliefariki Dunia),Marehemu Said Bwanamdogo wakati walipofika
kumjulia hali nyumbani kwake Kijijini Miono,Bagamoyo leo Machi 15,2014.



"Kijana
wetu wewe ndie tunaekutaka,na amini utashinda kwa kishindo" ndivyo
alivyosikika mama huyu akimwambia Mgombea Ubunge Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete.

Mkutano
kwa siku ya leo ulimalizikia katika Kijiji cha Mbwewe,Pichani ni
Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze akipita katikati ya vijana wa chipukizi
wakati akiwasili kwenye Kijiji hicho.
Mgombea
Ubunge Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete (kulia) akifurahia
baada ya kupewa maneno ya kuvutia kutoka kwa vijana wa chipukizi.







Meneja
wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Steven Kazidi (kushoto) akimtambulisha Ridhiwani Kikwete wakati wa mkutano wa kwanza wa kampeni uliofanyika katika
kijiji cha Matipwili,Saadani Wilayani Bagamoyo Machi 14,2014.
Mgombea
Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Matipwili,Saadani
Wilayani Bagamoyo,







Kwa hisani ya blog ya AllyShams Blog



















No comments:
Post a Comment