Waziri
Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye akiwasili kwenye ofisi za makao makuu ya
Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma tayari kuhojiwa.
Waziri
Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akizungumza na Waziri Mkuu wa zamani Frederick Sumaye kabla ya kuanza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya
Maadili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma.
William Ngeleja akisubiri kuhojiwa mjini Dodoma
Waziri
Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kizungumza na waandishi wa habari
baada ya kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili kwenye Makao Makuu
ya Chama Cha Mapinduzi.
Picha na Blog za mikoa
No comments:
Post a Comment