Friday, September 6, 2013

Wabunge Chadema walivyopambana na Polisi bungeni


  Wabunge wa CHADEMA wakipambana na Polisi, Bungeni Mjini Dodoma
Mbunge wa Kuteuliwa na Mwenyekiti wa NCCR_MAGEUZI, James Mbatia akisahangaa kuona mapambano kati ya wabunge wa CHADEMA na Polisi Bungeni 
 


 Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi akiwa ameng'ang'ania  Migrophone ya sehemu ya Kuzungumzia wapinzani Bungeni wakati polisi walipokuwa wakimtoa Bungeni Mjini Dodoma.
Mbunge  wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi akitolewa  na Askari Polisi nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma  



Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiongoza wabunge wa CHADEMA kutoka Bungeni mjini Dodoma baada ya kuamriwa kufanya  hivyo na Naibu Spika wa  Bunge, Job Ndugai
 Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi  akizuiwa na wabunge  wa CHADEMA ili asipambane na polisi

No comments:

Post a Comment