Monday, September 2, 2013

Liverpool walivyoinyuka Man United

Liverpool's Daniel Sturridge
Wachezaji wa Liverpool wakishangilia bao la Daniel Sturridge lililoipa ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United kwenye Uwanja wa Anfield. Huo ni ushindi wa tatu mfululizo kwa Liverpool tangu kuanza kwa msimu, matokeo iliyowahi kupata miaka 19 iliyopita. (Picha kwa Hisani ya Gazeti la Daily Mail la Uingereza)Flying start: Daniel Sturridge gave Liverpool the lead with a header in the fourth minute
Sturridge akishangilia bao pekee la Liverpool, alilofunga leo. Ushindi huo umekuja wakati ambao mshambuliaji huyu anaadhimisha miaka 24 ya kuzaliwa kwake leo Septemba 1.
Right place: Sturridge flicked home Daniel Agger's header from two yards
Sturridge akidondoka baada ya kupiga kichwa kufunga bao hilo akiunganisha pasi ya kichwa ya Daniel Agger aliyeunganisha kona ya Steven Gerrard.
On form: Sturridge has scored in all four of Liverpool's matches this season
Embrace: Sturridge hugs manager Brendan Rodgers after giving Liverpool the lead
Sturridge akikumbatiana na kocha wa Liverpool Brendan Rodgers baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi.

Fiesty: Steven Gerrard and Robin van Persie share their thoughts with each other
Steven Gerrard wa Liverpool, akitunishiana msuli na Robin van Persie wa Man United wakati wa mechi hiyo.


Physical: Martin Skrtel, who replaced the injured Kolo Toure, rises high to win a header
Martin Skrtel (37), akiruka juu kuwania kupiga mpira wa kichwa kuondoa hatari langoni mwa Liverpool.
Effort: Gerrard attempts a shot on goal from a free-kick, which was saved by David de Gea 
Steven Gerrard akipiga adhabu ndogo.

No comments:

Post a Comment