
Askofu Mkuu wa kanisa la Evangelistic Assemblies God Tanzania, Moses Kulola amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam.


Askofu Kulola, ambaye amezaliwa mwaka 1928, amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu na kuna wakati alipelekwa India kwa matibabu.
Mmoja wa watu wa karibu wa familia ya Askofu huyo amesema, kiongozi huyo wa Kanisa alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya moyo, mapafu na ini.
Askofu Moses Kulola akiwa Israel



No comments:
Post a Comment