Polisi
wakimsihi Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari aondoke nje ya
kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya kata ya Kimandolu
kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya kata ya Kimandolu
Makarani
wa uchaguzi wakiingiza masanduku ya kura katika ofisi ya
kata ya Kimandolu kutoka kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Kimandolu.
kata ya Kimandolu kutoka kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Kimandolu.
Polisi
wakiimarisha ulinzi katika lango kuu la kuingilia kituo cha kupigia
kura cha Ofisi ya kata ya Kimandolu katika uchaguzi mdogo wa udiwani mjini Arusha.
kura cha Ofisi ya kata ya Kimandolu katika uchaguzi mdogo wa udiwani mjini Arusha.
Mkazi
wa kata ya kimandolu akichomvya wino mara baada ya kumaliza kupigga kura.
Wakala
wa chama cha siasa akihakikisha kitambulisho cha mpiga kura
Wakazi
wa kimandolu wakifuatilia majina yao ili kufahamu
vyumba husika vya kupigia kura.
vyumba husika vya kupigia kura.
Picha zote kwa hisani ya blog ya Arusha Yetu.
No comments:
Post a Comment