Askari wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Rodney Ndunguru
Aliyekaa katikati mbele ni mama mzazi wa Rodney Ndunguru
Mwili wa Rodney Ndunguru ukiingizwa kaburini
Mama wa marehemu Rodney Ndunguru akiweka shada la maua katika kaburi la mwanawe
------------------------------ ---------
------------------------------
Na Cresensia Kapinga,Songea.
SIMANZI
,Vilio,majonzi vimetawala wakati wa mazishi na maziko ya askari wa Jeshi la
Wananchi Rodney Ndunguru wa kikosi cha makomando cha 92 KJ Ngerengere
mkoani Morogoro.
Mamia ya wakazi wa Mkoa wa Ruvuma wakiwemo askari
wa Jeshi la wananchi walihudhuria mazishi yaliyofanyika jana
kwenye makaburi ya Mjimwema Manispaa ya Songea.
Maziko hayo yaliongozwa na Paroko wa kanisa Katoliki Jimbo Kuu
la Songea Parokia ya Mjimwema Padre Noel Duwe.
Padre Duwe aliwaonya Watanzania wasichezee amani na kwamba,
utulivu uliopo ulindwe kwa namna yoyote.
Picha zote kwa hisani ya blog ya Songea Yetu
No comments:
Post a Comment