Saturday, May 11, 2013

Buriani mliokufa kwa bomu Arusha

Mapadri wa kanisa katoliki wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mmoja wa waliokufa katika tukio la kutupwa kwa bomu la mkono katika kanisa la Olasiti Arusha Mei 5, 2013.
Mapadri wakiwa wamebeba misalaba yenye majina ya marehemu wawili kati ya watatu waliokufa kwenye tukio la bomu la kurushwa kwa mkono kwenye kanisa la Olasiti jijini Arusha Mei 5, 2013, katika ibada ya mazishi iliyofanyika kwenye kanisa hilo Mei 10,2013.
Askofu wa Jimbo Kuu la Arusha, Mhashmu Josephat Lebulu akinyunyuzia maji miili ya waumini wa kanisa hilo waliokufa katika tukio la kurushwa kwa bomu la mkono kwenye kanisa la Olasiti jijini Arusha Mei 10,2013.
Kiongozi wa kanisa Katoliki nchini, Mhashamu Polycarp kadinari Pengo akiongoza ibada ya mazishi ya waumini wa kanisa hilo waliouwawa katika bomu lililotupwa kwenye kanisa la Olasiti Arusha Mei 5,2-13. Kuhoto ni Askofu wa Jimbo Kuu la Arusha, Mhashamu Josephat Lebulu.

 Miili ya waliopoteza maisha katika katika mlipuko wa bomu uliotokea hivi karibuni katika kanisa la Mt.Joseph Mfanyakazi lililopo Kata ya Olasiti Mkoani Arusha,ikiwa tayari kwa ajili ya mazishi. (Picha na Ferdinand Shayo)
 
 

No comments:

Post a Comment