Thursday, April 18, 2013

Bi Kidude kuzikwa leo Zanzibar

Nguli wa muziki wa Mwambao (Taarabu) Fatma Baraka ‘Bi Kidude’, amefariki dunia jana nyumbani kwake Bububu Mjini Zanzibar kutokana na kusumbuliwa na kisukari kwa muda mrefu mpaka umauti unamkuta.

Bi Kidude anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Kitumba mjini humo saa 7 mchana.

No comments:

Post a Comment