Halmashauri
Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi katika kikao chake cha siku mbili
Februari 10 na 11, 2013 kilichofanyika mjini Dodoma, pamoja na mambo
mengine kimeridhia uteuzi na kufanya uchaguzi wa Wajumbe 14 wa Kamati
Kuu yake.
![]() |
| Wajumbe wa NEC wakiwa tayari kupiga kura |
![]() |
![]() |
| Makatibu wa NEC,Kutoka kushoto Zakia Meghji, Dk. Asha-Rose Migiro na Mohamed Seif Khatib |
![]() |
| Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akipiga kura kuchagua wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM |
![]() | ||||
| Makamu wa pili wa Rais Zanzibar , Balozi Seif Ali Idd na Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mwigulu Nchemba wakipiga kura kuchagua wajumbe wa kamati kuu ya CCM,Taifa. |
| (Baadhi ya picha kwa hisani ya blog ya CCM) |
Halmashauri
Kuu ya Taifa ya CCM imeridhia uteuzi wa Dokta Salim Ahmed Salim kuwa
Mjumbe wa Halmashauri Kuu kupitia nafasi 10 za uteuzi wa Mwenyekiti wa
CCM. Wajumbe 14 waliochaguliwa kuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ni:-
Wajumbe wa Kamati Kuu - Bara
1. Ndugu Pindi Chana
2. Ndugu Adam Kimbisa
3. Ndugu William Lukuvi
4. Dokta Emmanuel Nchimbi
5. Ndugu Jerry Silaa
6. Profesa Anna Tibaijuka
7. Ndugu Stephen Wassira
Wajumbe wa Kamati Kuu - Zanzibar
1. Ndugu Pindi Chana
2. Ndugu Adam Kimbisa
3. Ndugu William Lukuvi
4. Dokta Emmanuel Nchimbi
5. Ndugu Jerry Silaa
6. Profesa Anna Tibaijuka
7. Ndugu Stephen Wassira
Wajumbe wa Kamati Kuu - Zanzibar
1. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha
2. Ndugu Hussein Mwinyi
3. Profesa Makame Mbarawa Mnyaa
4. Dokta Salim Ahmed Salim
5. Ndugu Maua Daftari.
6. Ndugu Samia Suluhu Hassan
7. Ndugu Hadija H. Aboud
Imetolewa na:-
Nape Moses Nnauye, KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA ITIKADI NA UENEZI 12/02/2013






No comments:
Post a Comment