Monday, January 28, 2013

Breaking New- Lulu apata dhamana



Lulu akisindikizwa na askari Magereza kutoka mahakamani kwenda kupanda gari kurudi rumande.

 
Lulu akiingia katika gari la Magereza kurudi rumande
 
Msanii maarufu wa filamu anayetuhumiwa kumuua muigizaji mwenzake, Stephen Kanumba, Elizabeth Michael (Lulu), ameachiwa huru kwa dhamana lakini hakukamilisha masharti ya dhamana hivyo amerudishwa rumande.

No comments:

Post a Comment