Wednesday, September 5, 2012

Walivyomzika mwandishi wa habari aliyeuawa kwa bomu


 Waandishi wa Habari wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu kuelekea Makabirini


Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa kaburini


 Mke wa marehemu Daudi Mwangosi akiweka Shada la Mauwa kwa machungu
 Mke wa Daudi Mwangosi akiwa analia kwa uchungu katika kaburi la marehemu mumewe 


 Watoto wa Marehemu wakiwawanaweka mashada ya maua sasa 
Mke wa marehemu Mwangosiakilia pembeni ya kaburi la mumewe
 Dr Slaa akiweka Shada la maua 
Dr Slaa Baada ya kumaliza kutoa heshima za mwisho
Mh. Mark Mwandosya na mkewe wakiweka shada la maua
 Rais wa UTPC akiweka shada la Maua
 Ndugu wa Marehemu akiweka shada la Maua

Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akiweka shada la maua 
Mwandishi Mkuu wa Mbeya  yetu, Ndugu Joseph Mwaisango akiwa anatoa heshima zake za Mwisho katiaka Kaburi
Wananchi wakiwa wanarejea baada ya mazishi

Waandishi wa Habari 

Kwa hisani ya blog ya Mbeya Yetu

2 comments:

  1. Thanκ you fοr sharing yоur info.
    I truly appreciate yοur еfforts аnd I will be waiting for your nеxt wrіte ups thanks onсe again.
    Feel free to surf my homepage ... visit this web-site to order london tantric massage tailor made packages

    ReplyDelete
  2. You must participate in a contest for among the finest blogs on the web.
    I will recommend this web site!
    My site - best online dating site

    ReplyDelete