Wednesday, September 12, 2012

Waandishi walivyoandamana kulaani mauaji ya mwenzao


Katibu wa Jukwaa la wahariri, Neville Meena akizungumza kabla ya kuanza kwa maandamano ya kulaani mauaji ya mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten, marehemu Daud Mwangosi. Maandamano hayo yalianzia katika Ofisi za Channel Ten na kuishia katika viwanja vya Jangwani.
 Maandamano yakianza

  Hili ni moja ya mabango waliyokuwa nayo waandishi
 Jese Kwayu (kushoto), Mzee Maro na mwezao wakiwa kwenye maandamano hayo jijini Dar es Salaam

  Mwandishi Lauden Mwambona akiwa amefunga mdomo kama hivi wakati wa maandamano hayo
  Hawa nao wakati mmoja ameziba mdomo, mwenzake akaziba macho kufikisha ujumbe wa kulaani mauaji ya Mwangosi
 Waandamaji wakielekea katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam kulaani mauaji ya mwandishi wa Channel Ten, Daudi Mwangosi
 Waandamanaji wakiwa na mabango yao 
Katibu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena akizungumza katika viwanja vya Jangwani

 















Kwa hisani ya Habari Mseto blog, Swahilivilla blog

No comments:

Post a Comment