
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete akifuatana na
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa na Mjumbe wa Kamati Kuu
ya CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni baada ya kuwasili
kwenye Ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma,
kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) mjini Dodoma.
ya CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni baada ya kuwasili
kwenye Ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma,
kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete akishauriana jambo na
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kushoto) baada ya kupiga picha ya pamoja na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kwenye viwanja vya Ofisi ya Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma.
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kushoto) baada ya kupiga picha ya pamoja na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kwenye viwanja vya Ofisi ya Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma.

Mwenyekiti
wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia wana-CCM, alipowasili kwenye
Ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, kuendesha kikao cha
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) mjini Dodoma.

Mwenyekiti
wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishiriki kucheza wimbo wa hamasa ya
Chama, alipowasili kwenye Ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma,
kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC)


Mjumbe
wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Samuel Sitta akimsalimia Mjumbe mwenzake, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya, nje ya
ukumbi, kabla ya kikao cha NEC mjini Dodoma.

Mjumbe wa NEC, Frederick Sumaye akizungumza na Mjumbe wa NEC
Kingunge Ngombale-Mwiru, walipokutana nje ya ukumbi, kabla ya kikao
cha NEC mjini Dodoma
Kingunge Ngombale-Mwiru, walipokutana nje ya ukumbi, kabla ya kikao
cha NEC mjini Dodoma

Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akishauriana jambo na Katibu
wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ukumbini kabla ya kuanza kikao
cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, mjini Dodoma
wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ukumbini kabla ya kuanza kikao
cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, mjini Dodoma

Wajumbe wa NEC wakiwa ukumbini kwenye kikao cha NEC mjini Dodoma

Wajumbe wa NEC .
Picha Zote na Bashir Nkromo-Dodoma
Kwa hisani ya Blog za Mikoa
No comments:
Post a Comment