Rais akiwasili Mnazi Mmoja, Dar es Salaam
Wimbo wa Taifa
Askari wa JWTZ wakiwakumbuka mashujaa
Askari wa zamani wa Tanzania Legion
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete Julai 25, 2012 ameongoza
Watanzania katika kumbukumbu ya siku ya Mashujaa Kitaifa katika Bustani ya
Mnazi Mmoja Dar es Salaam.
Kiongozi wa Mabalozi na Balozi wa DRC Nchini, Khalfan Mpango akiweka shada la maua
Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mstahiki Dkt Didas Masaburi akiweka upinde na mshale katika mnara wa mashujaa kwente viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment