Monday, June 4, 2012
Rais Kikwete akifanya mazoezi Arusha
Rais Jakaya Kikwete, anatumia mapumziko mafupi jijini Arusha, kufanya mazoezi ya kutembea kilomita tatu kila asubuhi na jioni kabla ya kufanya mazoezi ya viungo na kuingia gym, ili kuuweka mwili katika hali ya ukakamavu na afya.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment