Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Lloyd Nchunga amejiuzulu.
Klabu hiyo sasa inaongozwa na Bodi ya Wadhamini iliyomjumuisha Francis Kifukwe, Yusuf Manji na Mama Shadya Karume.
Mwishoni mwa wiki iliyopita, wanachama wapatao 600
wakiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Ibrahim Akilimali pamoja na
Mwenyekiti wa Vijana Bakili Makele walitangaza kumng’oa madarakani Mwenyekiti
wao Nchunga.
Shirikisho la Soka nchini (TFF) lilikataa
mapinduzi hayo kwa vile yako kinyume na Katiba.
Tayari wajumbe saba wa Kamati
ya Utendaji ya Klabu hiyo wametangaza kujiuzulu
No comments:
Post a Comment