Saturday, April 25, 2009

Zuma ni raha tu

Jacob Zuma akiserebuka na wafuasi wake kufurahia ushindi

Wafuasi wa Zuma duh


Zuma akiwa na wafuasi wake wakisherekea ushindi wa ANC

Zuma akiwa katika vazi la kizulu




Zuma akipiga kura Jumatano wiki hii




Mzee Nelson Mandela baada ya kupiga kura Jumatano wiki hii.

CHAMA cha ANC kimeshinda uchaguzi Mkuu wa Afrika Kusini hivyo ni dhahiri kwamba, Jacob Zuma(67) ndiye Rais mtarajiwa wa nchi hiyo.

No comments:

Post a Comment