Friday, March 6, 2009

Mbuzi kapewa ndevu, ng'ombe kanyimwa

KILA ninapousikia wimbo huu ulio katika mahadhi ya mnanda huwa nafikiria mengi hasa yale yanayotokea katika maisha yetu ya kila siku. Baadhi ya maneno katika wimbo huo ulio kwenye chati hivi sasa ni

Usinione mzembe, kupata ni majaliwa

Ndevu amenyimwa ng'ombe lakini mbuzi kapewa

Kwa Mungu hauna hisa ila umetunukiwa

Hautazikwa na pesa au gari ulilonunua

Hizo nyumba za kisasa wapo watakaochukua

Uliyetafuta naye kuni ndiye wa kuota naye moto

Kwa mtazamo wangu maneno hayo hapo juu ni ya kweli, wewe unasemaje?

No comments:

Post a Comment