![]() | |
Mtoto Aneth na mama yake mzazi (kulia) wakiingia eneo la mahakama. |
![]() |
WILVINA MKANDALA ANAYETUHUMIWA KUMUUNGUZA NA KUSABABISHA KUKATWA KWA MKONO WA MTOTO ANETH AKIINGIZWA MAHAKAMANI HUKU AKIWA HATAKI KUPIGWA PICHA. |
![]() |
Wakazi wa Mbeya wakiwa mahakamani kusikiliza kesi hiyo. |
![]() |
MTOTO ANETH AKISALIMIANA NA MAMA ALIYEMUHUDUMIA HOSPITALINI KABLA YA MAMA YAKE MZAZI KUJA KUTOKA BUKOBA |
![]() | |||||||||||
MTOTO ANETH MARA TU BAADA YA KUTOKA KATIKA CHUMBA CHA MAHAKAMA AKISUBIRI KURUDISHWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA KUENDELEA NA MATIBABU.Kwa hisani ya blog ya Mbeya Yetu |
No comments:
Post a Comment