
Gari alilokuwa akiendesha Sharo Milionea
Muigizaji ambaye pia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya, Hussein Ramadhani Mkiety maarufu kwa jina la Sharo Milionea, amekufa.
Muigizaji ambaye pia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya, Hussein Ramadhani Mkiety maarufu kwa jina la Sharo Milionea, amekufa.
Kijana huyo maarufu, aliaga dunia jana baada ya gari alilokuwa akiendesha kupinduka, akafa papo hapo.
Alipata ajali jana jioni katika kijiji cha
Lusanga, Muheza akiwa katika gari lenye namba za usajili T478 BVR
Toyota Harrier.

Kwa mujibu wa Polisi, wakati wa ajali, msanii huyo alikuwa pele yake kwenye gari.
Kwa mujibu wa Polisi, wakati wa ajali, msanii huyo alikuwa pele yake kwenye gari.
Mwili wa marehemu Sharo Milionea upo katika Hospitali Teule ya Muheza.
Kijana huyo maarufu, aliaga dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kupinduka. 
No comments:
Post a Comment