Wednesday, November 28, 2012

Walivyomuaga msanii John Maganga

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akitoa salam za chama hicho, kwenye msiba wa msanii, Joseph Maganga, Mwananyamala, Dar es salaam.
 Katibu wa NEC, Itikadi na uenezi CCM, Nape Nnauye akiwa kwenye shughuli ya kuaga mwili wa msanii, John Maganga, Mwananyamala, Dar es salaam
 Msanii wa Bongo Movie, Husna Maulidi 'Lishez', akituliwa na wenzake, Babby Candy na Ketty wakati akilia kwa uchungu, wakati wa kuaga mwili wa Msanii wa Bongo Movie, marehemu John Maganga
 Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili huo, Mwananyamala, Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment