Monday, June 11, 2012

Marehemu Bob Makani aagwa Dar es Salaam










Jeneza lenye Mwili wa Bob Makani


Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (wa kwanza kushoto), Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa na Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal katika viwanja vya Karimjee
Rais Kikwete anawasili katika viwanja vya Karimjee




Picha za juu kwa hisani ya Mjengwablog

Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na mwenyekiti wa chama cha CHADEMA , Freeman Mbowe wakati wa kuaga mwili wa Muasisi wa chama cha CHADEMA marehemu Bob Makani
Rais Dkt.Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe wakibeba jeneza la marehemu Bob Makani
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za Mwisho
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiteta jambo na mjumbe wa tume ya kukusanya maoni juu ya katiba Prof.Mwesiga Baregu katika viwanja vya Karimjee leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa katika viwanja vya Karimjee kufuatia msiba wa muasisi wa Chama hicho Bob Makani.(picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment