Tuesday, May 22, 2012

Mbunge ang'ara onesho la mavazi

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji akipita jukwaani wakati wa onesho la mavazi la kuchangia nyumba za wazee na kutimiza miaka mwili kwa Taasisi ya Tushikamane Pamoja Foundation. 
 
Hafla hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam. 
Vazi la harusi

Picha zote kwa hisani ya www.francisdande.blogspot.com

No comments:

Post a Comment