Wednesday, July 20, 2011

Majina ya watoto wa Beckham kwenye viatu

Mwanasoka maarufu Uingereza na anayeaminika kuwa ndiye mwenye kipato kikubwa zaidi duniani hivi sasa, David Beckham anazidi kuonesha manjonjo yake kwa kuandika majina ya wanawe wanne katika viatu anavyotumia kucheza soka.

Hivi karibuni, mtaalamu huyo wa mipira ya adhabu alionekana akiwa amevaa viatu vyenye majina ya mtoto wake wa kwanza, Brooklyn (12), Romeo (8), Cruz (6) na mwanawe pekee wa kike, Harper Seven mwenye umri usiozidi wiki moja.


David Beckham has had the names of his four children etched into his football boots.


The LA Galaxy player, who welcomed daughter Harper Seven with wife Victoria earlier this month, was photographed with the names of 12-year-old Brooklyn, 8-year-old Romeo, 6-year-old Cruz and 1-week old Harper in gold writing on the side of his shoe during a recent match.


David has described his new baby as "stunning", saying that the child is a mixture of himself and Victoria.


He has also pledged to be a more "delicate" father to his daughter, saying that he is "so lucky" to have a little girl.


David and Victoria are said to have decided that Harper will be their last child and they have no plans to expand their family further.

No comments:

Post a Comment