Wednesday, July 20, 2011

Swaga za Lady Gaga

Lady Gaga akitoka kutumbuiza night club


Lady Gaga akiwa na mpenzi wake, Luca Car (wa kwanza kushoto) , jijini Manhattan nchini Marekani.Lady Gaga amesema, amewahi kutumia dawa za kulevya lakini kwa sasa hatumii.

No comments:

Post a Comment