Picha kwa hisani ya blog ya mzee wa Sumo
HIZO picha hapo juu ni makazi ya wanaodaiwa kuwa ni waumini wa dhehebu la Sabato Masalia walioweka kambi Tabata Dar es Salaam baada ya kutimuliwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini humo.
Wanasema wanasubiri kwenda ulaya kuhubiri Injili, hawana tiketi wala Visa!
No comments:
Post a Comment