Friday, March 27, 2009

Mama wa Jade kuzibwa pengo


Jade alipokuwa mgonjwa

Mama mzazi wa Jade, Jackey Budden(50)

Mama mzazi wa Jade akitazama maua yaliyoachwa na waombolezaji

Mume wa Jade, Jack akiwavusha barabara watoto wa Jade

Mtoto wa kwanza wa Jade, Bobby(5)

Mtoto wa pili wa Jade, Freddie(4)

MMOJA wa washirika wa mtangazaji nyota wa vipindi halisi vya televisheni nchini Uingereza, Jade Goody amejitolea kuziba pengo la mama wa nyota huyo wa Big Brother kabla ya mazishi Aprili nne.

Jade alimuagiza mama yake mzazi, Jackiey asiende na pengo kumzika. Mtangazaji huyo aliyekuwa akisumbuliwa na saratani ya mfuko wa kizazi aliaga dunia Machi 22, ameach amume na watoto wawili.

Mtaalam wa masuala ya urembo, Nilam Patel amejitolea kuziba pengo hilo ili kutekeleza agizo la Jade.

No comments:

Post a Comment