MBUNGE wa Bariadi Mashariki mkoani Shinyanga, Andrew Chenge anadaiwa kujisalimisha polisi akituhumiwa kuua watu wawili katika ajali ya gari leo alfajiri.
Kuna madai kwamba Waziri huyo wa zamani amejisalimisha katika kituo cha polisi Oysterbay, Dar es Salaam, polisi wanatarajiwa kutoa taarifa zaidi baadaye.
kuna taarifa zinazodai kuwa mwansiasa huyo alikuwa akiendesha gari dogo lililogonga bajaj maeneo ya Oysterbay.
taarifa zaidi baadaye.
Kuna madai kwamba Waziri huyo wa zamani amejisalimisha katika kituo cha polisi Oysterbay, Dar es Salaam, polisi wanatarajiwa kutoa taarifa zaidi baadaye.
kuna taarifa zinazodai kuwa mwansiasa huyo alikuwa akiendesha gari dogo lililogonga bajaj maeneo ya Oysterbay.
taarifa zaidi baadaye.
No comments:
Post a Comment