Friday, November 1, 2013

Walivyomzika askari aliyeuawa DRC

 Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wakishusha jeneza lenye mwili wa  askari mwenzao, marehemu Luteni Rajab Mlima wakati wa maziko yaliyofanyika jana katika makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam. Mlima ambaye alikuwa katika Jeshi la Umoja wa Mataifa la Kulinda Amani DRC Congo aliuawa akiwa kazini katika Mlima Gavana eneo la Goma.


 
 Picha zote kwa hisani ya Khamisi Mussa ambaye ni mmiliki wa www.ujijirahaa.blogspot.com.

No comments:

Post a Comment