Monday, June 11, 2012

Croatia waibamiza Ireland 3-1


Bad start: Republic of Ireland fell behind against Croatia to a Mario Mandzukic header
Mchezaji wa Croatia Mario Mandzukic (jezi ya bluu) akifunga bao la kwanza kwa kichwa katika  dakika ya tatu kipindi cha kwanza, dhidi ya Ireland.
Back in the game: Sean St. Ledger's header brought Republic of Ireland an equaliser
Mchezaji wa  Ireland Sean St. Ledger akishangilia bao la kusawazisha  katika dakika ya 19, kipindi  cha kwanza.  

No comments:

Post a Comment