Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibroad
Slaa akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mvuleni jimbo la Mchinga mkoani
Lindi, katika mkutano wa kampeni ya Vua Gamba Vaa Gwanda.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibroad
Slaa alipowasili katika kijiji cha Mvuleni jimbo la Mchinga mkoani
Lindi.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibroad
Slaa akizungumza na vijana wa kijiji cha Mvuleni katika jimbo la
Mchinga mkoani Lindi, baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara.
(Picha zote
na Joseph Senga).




No comments:
Post a Comment