Friday, May 18, 2012

Maelfu wamuaga marehemu Patrick Mafisango

   Beki wa Simba, Juma Nyoso na mchezaji wa Azam John Boko wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Patrick Mafisango.


 Haruna Moshi akitoa heshima za mwisho.
Nahodha wa Simba, Juma Kaseja akitoa heshima za mwisho kwa Mafisango.
 Mchezaji wa Simba, Emmanuel Okwi ( wa mbele) akitoa heshima za mwisho kwa Mafisango.
 Makocha wa Stars, Silvester Marsh na Kim Poulsen wakati wa ibada ya kuaga mwli wa Mafisango.
 
Waombolezaji wanamlilia Patrick Mafisango
 Askari wa Usalama Barabarani akiongoza msafara wakati mwili wa marehemu, Mafisango ulipofikishwa katika viwanja vya TCC Club.
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (wa pili kushoto) akiwasili katika viwanja vya Sigara jijini Dar es Salaam kwa ajili ya ibada ya kuaga mwili wa marehemu, Patrick Mafisango.  

 Mlezi wa klabu ya Simba, Prof. Philimon Sarungi akimfariji Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage.
Mchezaji wa Simba, Haruna Moshi 'Boban' akiwa na huzuni wakati wa ibada ya kumuaga marehemu Mafisango jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara akitoa heshima za mwisho wakati wa ibada ya kuaga mwili wa marehemu, Patrick Mafisango. 
Kocha wa Simba akitoa heshima za mwisho.



Patrick Mafisango enzi za uhai wake
                                                            
























Picha zote kwa hisani ya www.francisdande.blogspot.com

1 comment: