Tuesday, May 22, 2012

Kumbukumbu ya miaka 16 tangu kuzama Mv Bukoba

Mwanamitindo, Flaviana Matata, akikabidhi vifaa vya kujiokolea majini ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya miaka 16 tangu kuazama kwa meli ya Mv Bukoba Mei 21, 1996
 Flaviana Matata akishindwa kujizuia na kuangua kilio wakati wa ibaada ya kumbukumbu ya miaka 16 ya ajali ya meli ya MV Bukoba.
 Mama mzazi wa  Flaviana alikufa katika ajali hiyo Mei 21, 1999

Flaviana na wageni wakiweka  mashada kwenye makaburi ya waliokufa kwenye ajali hiyo Igoma Mwanza.

Waombolezaji wengine waliofiwa na ndugu zao wakiombea marehemu wa ajali hiyo.




Flaviana Matata akikabidhi msaada wa maboya 500 kwa mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa Mwanza, Elias Makori kulia ikiwa ni kumbukumbu ya miaka 16 ya ajali ya meli ya MV Bukoba, anayeshuhudia ni Meneja Masoko na Biashara wa Shirika la usafirishaji wa majini mkoani Mwanza la Marine Service,Kapten Obadia Nkongoki. Igoma jijini Mwanza.

No comments:

Post a Comment