Wananchi na baadhi ya wabunge wamekuwa wakilalamika kuwa viongozi wa juu wa Serikali, wanatumia magari ya kifahari hivyo kuongeza gharama za kuendesha Serikali.
Waziri Mkuu, ameacha kutumia magari aina ya Mercedes Benz na Toyota Land Cruiser VX na sasa anatumia Toyota Land Cruiser GX.
Gharama za kununua na kuyahudumia magari ya Benz na VX ni kubwa sana kulinganisha na gharama za GX.
No comments:
Post a Comment