Monday, August 17, 2009

Breaking News

WASHITAKIWA wote katika kesi maarufu iliyomuhusu aliyekuwa Kaimu Mkuu wa Polisi Dar es Salaam, Abdallah zombe na wenzake wanane wameachiwa huru.
Walishitakiwa kwa kosa la kuwaua watu wanne akiwemo dereva wa teksi na wafanyabiashara watatu wa madini wa Mahenge mkoani Morogoro.
Taarifa zaidi baadaye kidogo.

No comments:

Post a Comment